swh_bibZaburi 89:6
Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?
eng_kjvPsalms 89:6
For who in the heaven can be compared unto the LORD? who among the sons of the mighty can be likened unto the LORD?