Zaburi 89:6

swh_bibZaburi 89:6

Kwa kuwa ni nani katika mbingu anayeweza kulinganishwa na Bwana? Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni aliye kama Bwana?

eng_kjvPsalms 89:6

For who in the heaven can be compared unto the LORD? who among the sons of the mighty can be likened unto the LORD?