swh_bibLuka 8:52
Wakati ule ule watu wote walikuwa wakilia na kuomboleza kwa ajili ya huyo binti. Yesu akawaambia, “Acheni kulia. Huyu binti hajafa, ila amelala.”
eng_kjvLuke 8:52
And all wept, and bewailed her: but he said, Weep not; she is not dead, but sleepeth.