swh_bibLuka 8:43
Katika umati huo palikuwa na mwanamke mmoja aliyekuwa na tatizo la kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili. Tena alikuwa amegharimia yote aliyokuwa nayo kwa ajili ya matibabu, wala hakuna yeyote aliyeweza kumponya.
eng_kjvLuke 8:43
¶ And a woman having an issue of blood twelve years, which had spent all her living upon physicians, neither could be healed of any,