swh_bibAyubu 24:18
“Lakini wao ni povu juu ya maji; sehemu yao juu ya nchi imelaaniwa, hivyo hakuna hata mmoja aendaye kwenye shamba la mizabibu.
eng_kjvJob 24:18
He is swift as the waters; their portion is cursed in the earth: he beholdeth not the way of the vineyards.