Ayubu 24:14

swh_bibAyubu 24:14

Wakati mwanga wa mchana unapotoweka, muuaji huinuka naye huwaua maskini na mhitaji; wakati wa usiku hunyemelea kama mwizi.

eng_kjvJob 24:14

The murderer rising with the light killeth the poor and needy, and in the night is as a thief.