swh_bibHabakuki 1:9
wote wanakuja tayari kwa fujo. Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele kama upepo wa jangwani, na kukusanya wafungwa kama mchanga.
eng_kjvHabakkuk 1:9
They shall come all for violence: their faces shall sup up as the east wind, and they shall gather the captivity as the sand.