Mhubiri 6:10

swh_bibMhubiri 6:10

Lolote lililopo limekwisha kupewa jina, naye mwanadamu alivyo ameshajulikana; hakuna mtu awezaye kushindana na mwenye nguvu kuliko yeye.

eng_kjvEcclesiastes 6:10

That which hath been is named already, and it is known that it is man: neither may he contend with him that is mightier than he.