swh_bibMatendo Ya Mitume 24:18
Nilikuwa nimeshatakaswa kwa taratibu za kiibada waliponikuta Hekaluni nikifanya mambo haya. Hapakuwa na umati wa watu, pamoja nami wala aliyehusika kwenye fujo yoyote.
eng_kjvActs 24:18
Whereupon certain Jews from Asia found me purified in the temple, neither with multitude, nor with tumult.