swh_bibMatendo Ya Mitume 24:15
nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwa wenye haki na wasio na haki.
eng_kjvActs 24:15
And have hope toward God, which they themselves also allow, that there shall be a resurrection of the dead, both of the just and unjust.