swh_bib2 Wakorintho 11:16
Nasema tena, mtu yeyote asidhani kwamba mimi ni mjinga. Lakini hata kama mkinidhania hivyo, basi nipokeeni kama mjinga ili nipate kujisifu kidogo.
eng_kjv2 Corinthians 11:16
I say again, Let no man think me a fool; if otherwise, yet as a fool receive me, that I may boast myself a little.