swh_bib1 Wakorintho 11:29
Kwa maana mtu yeyote alaye na kunywa pasipo kuutambua mwili wa Bwana, hula na kunywa hukumu juu yake mwenyewe.
eng_kjv1 Corinthians 11:29
For he that eateth and drinketh unworthily, eateth and drinketh damnation to himself, not discerning the Lord’s body.