swh_bib1 Wakorintho 11:18
Kwanza, mnapokutana kama kanisa, nasikia kwamba kuna mgawanyiko miongoni mwenu, nami kwa kiasi fulani nasadiki kuwa ndivyo ilivyo.
eng_kjv1 Corinthians 11:18
For first of all, when ye come together in the church, I hear that there be divisions among you; and I partly believe it.