swh_bib1 Wakorintho 11:12
Kama vile mwanamke alivyoumbwa kutoka kwa mwanaume, vivyo hivyo mwanaume huzaliwa na mwanamke. Lakini vitu vyote vyatoka kwa Mungu.
eng_kjv1 Corinthians 11:12
For as the woman is of the man, even so is the man also by the woman; but all things of God.