swh_bibTito 2:10
wala wasiwaibie, bali waonyeshe kuwa wanaweza kuaminika kabisa, ili kwa kila namna wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi wetu yawe ya kuvutia.
eng_kjvTitus 2:10
Not purloining, but shewing all good fidelity; that they may adorn the doctrine of God our Saviour in all things.