swh_bibWarumi 8:24
Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?
eng_kjvRomans 8:24
For we are saved by hope: but hope that is seen is not hope: for what a man seeth, why doth he yet hope for?