swh_bibWarumi 5:12
Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja, na kupitia dhambi hii mauti ikawafikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya dhambi:
eng_kjvRomans 5:12
Wherefore, as by one man sin entered into the world, and death by sin; and so death passed upon all men, for that all have sinned: