swh_bibWarumi 3:7
Mtu aweza kuuliza, “Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli ya Mungu na kuzidisha utukufu wake, kwa nini basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?”
eng_kjvRomans 3:7
For if the truth of God hath more abounded through my lie unto his glory; why yet am I also judged as a sinner?