Warumi 2:26

swh_bibWarumi 2:26

Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?

eng_kjvRomans 2:26

Therefore if the uncircumcision keep the righteousness of the law, shall not his uncircumcision be counted for circumcision?