swh_bibWarumi 2:14
(Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.
eng_kjvRomans 2:14
For when the Gentiles, which have not the law, do by nature the things contained in the law, these, having not the law, are a law unto themselves: