swh_bibWarumi 1:26
Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha wavunjiane heshima kwa kufuata tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao wakabadili matumizi ya asili ya miili yao wakaitumia isivyokusudiwa.
eng_kjvRomans 1:26
For this cause God gave them up unto vile affections: for even their women did change the natural use into that which is against nature: