swh_bibWarumi 1:17
Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
eng_kjvRomans 1:17
For therein is the righteousness of God revealed from faith to faith: as it is written, The just shall live by faith.