swh_bibWarumi 15:8
Kwa maana nawaambia kwamba, Kristo amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani,
eng_kjvRomans 15:8
Now I say that Jesus Christ was a minister of the circumcision for the truth of God, to confirm the promises made unto the fathers: