Warumi 14:23

swh_bibWarumi 14:23

Lakini kama mtu ana shaka kuhusu kile anachokula, amehukumiwa, kwa sababu hakula kwa imani. Kwa kuwa chochote kinachofanywa pasipo imani ni dhambi.

eng_kjvRomans 14:23

And he that doubteth is damned if he eat, because he eateth not of faith: for whatsoever is not of faith is sin.