swh_bibWarumi 11:16
Kama sehemu ya donge la unga uliotolewa kuwa limbuko ni mtakatifu, basi unga wote ni mtakatifu, nalo shina kama ni takatifu, vivyo hivyo na matawi nayo.
eng_kjvRomans 11:16
For if the firstfruit be holy, the lump is also holy: and if the root be holy, so are the branches.