Ufunuo 2:8

swh_bibUfunuo 2:8

“Kwa malaika wa kanisa lililoko Smirna andika: “Haya ndiyo maneno yake yeye aliye wa Kwanza na wa Mwisho, aliyekufa kisha akafufuka.

eng_kjvRevelation 2:8

And unto the angel of the church in Smyrna write; These things saith the first and the last, which was dead, and is alive;