swh_bibUfunuo 19:12
Macho yake ni kama miali ya moto na juu ya kichwa chake kuna taji nyingi. Ana jina lililoandikwa ambalo hakuna mtu yeyote anayelijua isipokuwa yeye mwenyewe.
eng_kjvRevelation 19:12
His eyes were as a flame of fire, and on his head were many crowns; and he had a name written, that no man knew, but he himself.