swh_bibUfunuo 16:9
Watu wakaunguzwa na hilo joto kali, wakalaani Jina la Mungu, aliyekuwa na uwezo juu ya mapigo haya, tena wakakataa kutubu na kumtukuza Mungu.
eng_kjvRevelation 16:9
And men were scorched with great heat, and blasphemed the name of God, which hath power over these plagues: and they repented not to give him glory.