swh_bibUfunuo 16:3
Malaika wa pili akalimwaga bakuli lake baharini, nayo ikabadilika kuwa damu kama ya mtu aliyekufa na kila kiumbe hai kilichokuwa ndani ya bahari kikafa.
eng_kjvRevelation 16:3
And the second angel poured out his vial upon the sea; and it became as the blood of a dead man: and every living soul died in the sea.