swh_bibZaburi 88:5
Nimetengwa pamoja na wafu, kama waliochinjwa walalao kaburini, ambao huwakumbuki tena, ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
eng_kjvPsalms 88:5
Free among the dead, like the slain that lie in the grave, whom thou rememberest no more: and they are cut off from thy hand.