swh_bibZaburi 6:6
Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni; usiku kucha nafurikisha kitanda changu kwa machozi; nimelowesha viti vyangu vya fahari kwa machozi.
eng_kjvPsalms 6:6
I am weary with my groaning; all the night make I my bed to swim; I water my couch with my tears.