Zaburi 52:1

swh_bibZaburi 52:1

Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya? Kwa nini unajivuna mchana kutwa, wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?

eng_kjvPsalms 52:1

Why boastest thou thyself in mischief, O mighty man? the goodness of God endureth continually.