swh_bibZaburi 42:10
Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali adui zangu wanaponidhihaki, wakiniambia mchana kutwa, “Yuko wapi Mungu wako?”
eng_kjvPsalms 42:10
As with a sword in my bones, mine enemies reproach me; while they say daily unto me, Where is thy God?