Zaburi 31:10

swh_bibZaburi 31:10

Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi, naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali; nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso, na mifupa yangu inachakaa.

eng_kjvPsalms 31:10

For my life is spent with grief, and my years with sighing: my strength faileth because of mine iniquity, and my bones are consumed.