swh_bibZaburi 30:5
Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi, bali upendo wake hudumu siku zote. Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.
eng_kjvPsalms 30:5
For his anger endureth but a moment; in his favour is life: weeping may endure for a night, but joy cometh in the morning.