Zaburi 110:1

swh_bibZaburi 110:1

Bwana amwambia Bwana wangu: “Keti mkono wangu wa kuume, mpaka nitakapowafanya adui zako kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”

eng_kjvPsalms 110:1

The LORD said unto my Lord, Sit thou at my right hand, until I make thine enemies thy footstool.