swh_bibMithali 10:5
Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi ni mwana mwenye hekima, lakini yeye alalaye wakati wa mavuno ni mwana mwenye kuaibisha.
eng_kjvProverbs 10:5
He that gathereth in summer is a wise son: but he that sleepeth in harvest is a son that causeth shame.