Hesabu 9:11

swh_bibHesabu 9:11

Wataiadhimisha wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Watamla mwana-kondoo, pamoja na mkate usiotiwa chachu, na mboga chungu.

eng_kjvNumbers 9:11

The fourteenth day of the second month at even they shall keep it, and eat it with unleavened bread and bitter herbs.