swh_bibHesabu 7:11
Kwa maana Bwana alikuwa amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu madhabahu.”
eng_kjvNumbers 7:11
And the LORD said unto Moses, They shall offer their offering, each prince on his day, for the dedicating of the altar.