swh_bibHesabu 20:13
Haya yalikuwa maji ya Meriba, mahali pale ambapo Waisraeli waligombana na Bwana, naye akajionyesha mwenyewe huko kuwa mtakatifu katikati yao.
eng_kjvNumbers 20:13
This is the water of Meribah; because the children of Israel strove with the LORD, and he was sanctified in them.