swh_bibHesabu 11:34
Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava, kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.
eng_kjvNumbers 11:34
And he called the name of that place Kibroth-hattaavah: because there they buried the people that lusted.