swh_bibNehemia 8:8
Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kikisomwa.
eng_kjvNehemiah 8:8
So they read in the book in the law of God distinctly, and gave the sense, and caused them to understand the reading.