swh_bibNehemia 13:4
Kabla ya hili, kuhani Eliashibu alikuwa amewekwa kuwa msimamizi wa vyumba vya ghala ya nyumba ya Mungu wetu. Alikuwa na uhusiano wa karibu na Tobia,
eng_kjvNehemiah 13:4
¶ And before this, Eliashib the priest, having the oversight of the chamber of the house of our God, was allied unto Tobiah: