swh_bibNehemia 13:30
Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.
eng_kjvNehemiah 13:30
Thus cleansed I them from all strangers, and appointed the wards of the priests and the Levites, every one in his business;