swh_bibNehemia 12:40
Kisha yale makundi mawili ya waimbaji yaliyoshukuru yakachukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu. Nami pia nikafanya hivyo, pamoja na nusu ya maafisa,
eng_kjvNehemiah 12:40
So stood the two companies of them that gave thanks in the house of God, and I, and the half of the rulers with me: