swh_bibMarko 6:4
Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika mji wake mwenyewe, na miongoni mwa jamaa na ndugu zake, na nyumbani kwake.”
eng_kjvMark 6:4
But Jesus said unto them, A prophet is not without honour, but in his own country, and among his own kin, and in his own house.