swh_bibMarko 6:35
Mchana ulipokuwa umeendelea sana, wanafunzi wake walienda kwake, wakamwambia, “Mahali hapa ni nyikani, nazo saa zimekwenda sana.
eng_kjvMark 6:35
And when the day was now far spent, his disciples came unto him, and said, This is a desert place, and now the time is far passed: