swh_bibMarko 6:21
Mfalme Herode alifanya karamu kubwa wakati wa sikukuu ya kuzaliwa kwake. Akawaalika maafisa wake wakuu, majemadari wa jeshi na watu mashuhuri wa Galilaya. Hatimaye Herodia alipata wasaa aliokuwa akiutafuta.
eng_kjvMark 6:21
And when a convenient day was come, that Herod on his birthday made a supper to his lords, high captains, and chief estates of Galilee;