Marko 15:31

swh_bibMarko 15:31

Vivyo hivyo, viongozi wa makuhani pamoja na walimu wa sheria wakamdhihaki miongoni mwao wakisema, “Aliwaokoa wengine, lakini hawezi kujiokoa mwenyewe!

eng_kjvMark 15:31

Likewise also the chief priests mocking said among themselves with the scribes, He saved others; himself he cannot save.