swh_bibMarko 14:10
Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Yesu kwao.
eng_kjvMark 14:10
¶ And Judas Iscariot, one of the twelve, went unto the chief priests, to betray him unto them.