swh_bibMarko 13:1
Yesu alipokuwa akitoka Hekaluni, mmojawapo wa wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu! Tazama jinsi mawe haya yalivyo makubwa, na majengo haya yalivyo mazuri!”
eng_kjvMark 13:1
And as he went out of the temple, one of his disciples saith unto him, Master, see what manner of stones and what buildings are here!